Mark 2:23

Bwana Wa Sabato

(Mathayo 12:1-8; Luka 6:1-5)

23 aSiku moja ya Sabato, Yesu pamoja na wanafunzi wake walikuwa wakipita katikati ya mashamba ya nafaka. Walipokuwa wakitembea, wanafunzi wake wakaanza kuvunja masuke.
Copyright information for SwhNEN